Wizara
ya Afya na Usatawi wa Jamii, Idara ya Mafunzo imetoa taarifa kuwaarifu
waliotuma maombi kuwa, "Barua za kujiunga na masomo kwa
wale waliochaguliwa, zitatumwa kupitia kwenye anuani zao. Barua
hazitatolewa wizarani."
Taaarifa hiyo ilitolewa siku ya Alhamisi, tarehe 24 Oktoba 2013 na kuchapishwa kwenye tovuti ya Wizara.
Tarehe 19 Oktoba 2013, Wizara ilitoa tangazo lenye orodha ya majina, nakala lilibandikwa hapa (bofya hapa kulirejea)
Taaarifa hiyo ilitolewa siku ya Alhamisi, tarehe 24 Oktoba 2013 na kuchapishwa kwenye tovuti ya Wizara.
Tarehe 19 Oktoba 2013, Wizara ilitoa tangazo lenye orodha ya majina, nakala lilibandikwa hapa (bofya hapa kulirejea)
Post a Comment