November
13 2013 Osterbay Dar es salaam ilifanyika party ya birthday ya Mubenga
ambae ni meneja wa mwimbaji Ommy Dimpoz ambae baada ya kukata keki, Ommy
ambae ni msanii wa pili Tanzania kulipwa pesa nyingi kwenye show
(Milioni 8) kati ya wote waliowahi kutangaza bei zao, alichukua mic na
kutangaza kuhusu zawadi ya kiwanja alichokinunua kwa ajili ya Mubenga.
Miongoni mwa mastaa waliohudhuria hii party ni pamoja na B12 na Dj
Zero wa XXL 88.5 Dar es salaam, Vanessa Mdee wa 102.5 Choice FM, Salama
Jabir wa Mkasi ya EATV, Ay, Lamar, waigizaji Jackline Wolper na Kajala
kama picha zinavyoonyesha hapa chini.
Habari/Picha kwa hisani ya millardayo.com
Post a Comment