
Maswali mengi yamekuwa yakiamshwa kuhusu usajili halali wa mchezaji
wa kikosi cha Barcelona, Neymar…Kupitia ukurasa wa Twitter wa mtandao
unaotoa maelezo kuhusu matukio ya soka, ESPNFC, ulieleza uamuzi
uliofikiwa na Sandro kuachia ngazi

Pia, Rosell alieleza kufikia maamuzi hayo kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter wa klabu hiyo ya Barcelona na kusema:

Sakata hili linapelekea utafiti dhidi ya tuhuma kama mchezaji huyu, Neymar alisajiliwa kwenye klabu ya Barcelona kwa njia halali ama La. Neymar, alijiunga na timu ya Barcelona mapema msimu wa 2013-14. Utofauti kati ya kiasi cha pesa ambacho klabu hiyo ilitoa kumsajili mchezaji huyo na kiasi ambacho klabu alikotoka kimepokea, imeleta utata na kupelekea uchunguzi kwa tuhuma za ufujaji wa pesa ndani ya klabu hiyo.
Uamuzi wa Rosell kuachia ngazi umeleta maswali mengi dhidi ya tuhuma hizo endapo zina ukweli ndani yake, ila maamuzi ya mwisho ambayo yataandamana na ushahidi yatatolewa na mahakama.
Barcelona wamefanikiwa kupambana na kuongoza ligi ya Hispania, “La Liga” na kuwa vinara kwenye ligi hiyo. Neymar, bila shaka amekuwa msaada mkubwa sana kwenye mafanikio haya


Pia, Rosell alieleza kufikia maamuzi hayo kupitia ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Twitter wa klabu hiyo ya Barcelona na kusema:

Sakata hili linapelekea utafiti dhidi ya tuhuma kama mchezaji huyu, Neymar alisajiliwa kwenye klabu ya Barcelona kwa njia halali ama La. Neymar, alijiunga na timu ya Barcelona mapema msimu wa 2013-14. Utofauti kati ya kiasi cha pesa ambacho klabu hiyo ilitoa kumsajili mchezaji huyo na kiasi ambacho klabu alikotoka kimepokea, imeleta utata na kupelekea uchunguzi kwa tuhuma za ufujaji wa pesa ndani ya klabu hiyo.
Uamuzi wa Rosell kuachia ngazi umeleta maswali mengi dhidi ya tuhuma hizo endapo zina ukweli ndani yake, ila maamuzi ya mwisho ambayo yataandamana na ushahidi yatatolewa na mahakama.
Barcelona wamefanikiwa kupambana na kuongoza ligi ya Hispania, “La Liga” na kuwa vinara kwenye ligi hiyo. Neymar, bila shaka amekuwa msaada mkubwa sana kwenye mafanikio haya

إرسال تعليق