
Arsenal wakishangilia ushindi wao usiku huu.
Mesut Ozil akiifungia Arsenal bao la pili dakika ya 42.
Olivier Giroud akihitimisha kwa bao la nne dakika ya 66.
Newcastle baada ya kipigo cha 3-0.
Mashabiki wa Newcastle wakiwa na bango la kumkataa kocha wao, Alan Scott Pardew.
WASHIKA
bunduki wa London, Arsenal FC wamezidi kujihakikishia kubaki Nne Bora
kwenye Ligi Kuu ya England baada ya kuibamiza bao 3-0 Newcastle usiku
huu kwenye Uwanja wa Emirates jijini London.
Mabao ya Arsenal yamewekwa kimiani na Laurent Koscielny, Mesut Ozil and Olivier Giroud.
Kwa
matokeo ya leo, Arsenal wamefikisha pointi 73 baada ya kucheza mechi 36
wakiwa nafasi ya nne huku anayewafuatia kwa nyuma Everton akiwa na
pointi 69 baada ya mechi 36 wote wakibakiwa na mechi mbili mkononi.

إرسال تعليق