
Hisia za Mwananchi Blog inaungana na watanzania wote wapenda 
amani na utulivu kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanznia 
chini ya Viongozi wake wakuu, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais
 Dk. Mohamed Gharib Bilali, Waziri Mkuu Mizengo Piter Pinda pamoja na 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Alli Mohamed 
Shein, Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar , Maalim Seif Sharif Hamad, na 
Makamu wa pili wa Rais, Balozi, Seif Ali Idd kwa kuulinda na kutuongoza 
vyema wananchi wote katika kuulinda na kudumisha Muungano wetu kwa amani
 na Utulivu.
Pia
 tunawatakia kila la heri watanzania wote popote pale walipo kwa 
kusherehekea Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. "TUULINDE 
MUUNGANO WETU KWA MAENDELEO, AMANI NA USTAWI WA TAIFA LETU" na daima 
tukumbuke "UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU"
إرسال تعليق