Kiota kipya cha burudani chafunguliwa MBEZI TANGI BOVU.

20140425_171044

Kiota kipya cha starehe kimefunguliwa maeneo ya Mbezi Tangi Bovu zamani palikuwa panaitwa TOP GEREJI sasa wapo watu wapyaaaaaaa halafu leo Jumamosi wakati ukisherehekea sikukuu ya Muungano jamaa wanakupa burudani matataaaaaa hahahaaa #niSHIDAmpyaaaaaaa jijini. Ijumaa ijayo ndio siku ya uzinduzi rasmi kabisa sasa wakazi wa Mbezi beach na vitongoji vyake sehemu ndio hii sasa
20140425_171208
Hii ni kaunta ya nje kama inavyoonekana
20140425_171327
Sehemu nzuri yakukaa na marafiki zako na kubadilishana mawazo
20140425_171401
Unapoingia Lounge unakutana na mchoro matataaaaaa
20140425_171454
Hii ni kaunta ya ndani so unaweza kukaa nje au ukaingia ndani na ukaendelea na burudani kama kawa
20140425_171508 20140425_171520 20140425_171536 20140425_171609
Wapenda Pool Table mzigo upo
20140425_171632
Na wale wavuta sheesha basi mzigo upo pia
20140425_171654 20140425_171726 20140425_171757 20140425_171828
Mziki ni kama kawa lazima uwepo

Post a Comment

أحدث أقدم