
Kiota kipya cha
 starehe kimefunguliwa maeneo ya Mbezi Tangi Bovu zamani palikuwa 
panaitwa TOP GEREJI sasa wapo watu wapyaaaaaaa halafu leo Jumamosi 
wakati ukisherehekea sikukuu ya Muungano jamaa wanakupa burudani 
matataaaaaa hahahaaa #niSHIDAmpyaaaaaaa jijini. Ijumaa ijayo ndio siku ya uzinduzi rasmi kabisa sasa wakazi wa Mbezi beach na vitongoji vyake sehemu ndio hii sasa 

Hii ni kaunta ya nje kama inavyoonekana

Sehemu nzuri yakukaa na marafiki zako na kubadilishana mawazo

Unapoingia Lounge unakutana na mchoro matataaaaaa

Hii ni kaunta ya ndani so unaweza kukaa nje au ukaingia ndani na ukaendelea na burudani kama kawa
 
 
 
Wapenda Pool Table mzigo upo

Na wale wavuta sheesha basi mzigo upo pia
 
 
 
Mziki ni kama kawa lazima uwepo
إرسال تعليق