Usiku wa jana wa South African Music Awards, ulitawaliwa na
hitmakers wa ‘Khona’ na ‘Happiness’ Mafikizolo walionyakua tuzo tuzo
nane.
Miongoni mwa vipengele walivyoshinda ni pamoja album of the year na
best duo/ group. Wasanii wengine waliopata tuzo ni Zahara, Kabomo
Nakhane Toure, iFani Big Nuz, Mi Casa Music na wengine.
إرسال تعليق