Odama ajifungua mtoto wa kiume

Msanii wa filamu aliyekuwa kimya muda mrefu kutokana na kuwa mjamzito ,Jennifer Kyaka aka Odama amejifungua mtoto wa kiume wiki iliyopita. 10
Kupitia Facebook Odama ameandika: Ni kweli nilikua mjamzito na mpaka sasa tayari nimejifungua mtoto wa kiume,namshukuru sana mungu na mashabiki zangu wote kwa ushirkiano wenu tangu mwanzo mpaka sasa…Nawapenda sana.”

Post a Comment

أحدث أقدم