Prime Minister Muhammed Shamte Hamad (as
Head of Government of the independent and Sovereign State of Zanzibar)
day of 16th December, 1963 to the General Assembly of the United Nations
Organization in New York.

Kama hakuna Mkataba wa Muungano UN basi nikudai kiti chetu Umaja wa Mataifa anbacho kiko wazi Tokea 16 December 1963 kiko wazi kina tusubiri.

Kama hakuna Mkataba wa Muungano UN basi nikudai kiti chetu Umaja wa Mataifa anbacho kiko wazi Tokea 16 December 1963 kiko wazi kina tusubiri.
Ndugu zangu Wazanzibar Waloko nchi zote ulimwenguni hususani hapa Uengereza na Marekani,
Tunayo fursa mzuri na tunawezaa kuitumia kama Wazanzibar,kuliko
hata wale ndugu zetu walioko nyumbani Zanzibar, hapa Uengereza
tumeshawahi kufanya mandamano mingi tu ya amani na utulivu na hata
kungwa mkono katika Madamano yetu na mataifa jirani zetu kama vile
Wakenye, Waganda, Wazaire ,Waburundi na Wasomali ,wote walishiriki
kutuunga mkono Mandamano yetu na madai yetu.
Na maandamano yote tuliofanya na tukaonyesha hisia zetu Kama
Wazanzibar kwa kupelekaa ujumbe wetu wa barua ,yalileta mafanikio
makubwa kwa njia hii au nyingine .
Sasa kwa swala kubwa kama hili ambalo tayari UN wamesha tuonyesha
GREEN LIGHT kuikana SMT kuwa UN hawana HATI ya Muungano wa Tanganyika
na Zanzibar, Sasa vipi sisi Wananchi wa Zanzibar tunyamaze kimya tu hio
itakua ndio imetosha ?.
TUNASUBIRI NINI WAZANZIBAR ?
Kuna haja na sisi wananchi wa Zanzibar kuwakilisha barua zetu katika ofisi za UN ili kujua UN kua kwela Wananchi wa Zanzibar na wao hawako nyumba kwa jambo hili wanahitaji ukweli kutoka kwetu UN?.
Kuna haja na sisi wananchi wa Zanzibar kuwakilisha barua zetu katika ofisi za UN ili kujua UN kua kwela Wananchi wa Zanzibar na wao hawako nyumba kwa jambo hili wanahitaji ukweli kutoka kwetu UN?.
Hii itasaidia kuona kua hawa watu hawajalala wako macho na tuneless
kuzarau lakini tukaja tukaona kumbe mandamano yetu yameleta mafanikio
makubwa katika nchi yetu tuibendayo .
Tukisema Tumsubiri Mh Jussa au Mtikila hii itakua hatukuitendea haki
Zanzibar na kizazi chetu cha badae kwa vile hili jambo linawahusu
Wa-Zanzibar wote wenye uchungu na Zanzibar yetu.
Tufanyeni Mandamano ambayo tumeshawahi kufanya ili kuwakilisha barua
zetu katika ofisi za UN, kwa wale wenye kujua taratibu za ku- organise
mandamano ya nyuma tunawaomba watutayarishie kitu hishi haraka.
Na tutakua bega kwa bega ,kwa jambo hili linalotuhusu sote, na nchi
hizi ukifuata taratibu hapigwi mtu ,uhuru wako unaheshimiwa na maoni
yako yanaheshimia has longer undefeated taratibu za kisheria, na sisi
tunaza record Wazanzibar kufanya mandamano ya peace na amani hapa Uk.
Na mandamano yetu hayahusiani na siasa ccm au cuf au ya chama
chochote kile ,ni maandamano ya Wazanzibar kuwakilisha Barua yetu UN
ili kupata jibu kwa UN kuhusu kazia hii?. Na kamala hatma ya Zanzibar
yetu.
Hii ni fursa azimu Wazanzibar tuitumieni ,tukishindwa kufanya hivi
basi Katiba na Wajumbe wa katiba tusiwategemee kwa hili,wengi wao wapo
pale kwa maslahi yao binafsi na wamejigawa .official
Na hio katiba yote haina kichwa wala miunguu ikiwa hakuna Mkataba wa Muungano halali Umaja wa Mataifa. OFFITI
Post a Comment