Rais Jakaya Kikwete akiwapongeza askari hao wa miamvuli mara baada ya kutua kwenye uwanja wa Uhuru.
Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kutoa heshima mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.Kikosi
cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kuonyesha uwezo wake katika
mapambano ya Karatee na mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.Makomandoo hawa wakionyesha uwezo mkubwa wa mapambano na adui.Sasa ni zana za kivitaHiki ni KifaruKifaru cha kivita kikipita mbele ya wanahabari na wananchi waliohudhuria katika maadhimisho hayo.Wananchi wakishuhudia vifaru vikipita wakati wa maadhimisho hayo.Makombora mazito ya kivita yakipita Makombora ya kutungulia ndege za adui nayo yakionyeshwa kwa wananchi.Askari
wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa
Uhuru baada ya kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000
angani.Askari
wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa
Uhuru baada ya kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000
angani.Wakienda kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Jakaya Kikwete.
Kikosi cha Makomandoo kikipita kwa mwendo wa aina yake wakati wa sherehe za miaka 50 ya Muungano.
Sehemu ya wageni
waalikwa waliohudhuria sherehe za miaka 50 ya Muungano ambazo
zimefanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.
Kikosi cha
Makomandoo kikitoa salaam kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Muungano.
Makomandoo wakionyesha namna ya kupambana bila kutumia nyenzo hapa wakivunja matofali kwa kutumia kichwa na mikono.
Baadhi ya silaha zakijeshi zikipitishwa mbele ya umati kuonyesha uwezo mkubwa wa jeshi letu.
Kikosi cha Wanamaji
Ndege za kivita
zikilinda Ndege ya Rais katika maonyesho ya Ndege yaliofanyika kwenye
Kilele cha Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano.
Askari wa kikosi cha Mwamvuli akishuka kutoka futi 4500 kwenye uwanja wa Uhuru kwenye kilele cha miaka 50.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa mkono wa pongezi mmoja wa wanajeshi wa kikosi cha mwamvuli .
SEFU na lipumba WALIHUDHURIA
ReplyDeletePost a Comment