 Rais Jakaya Kikwete akiwapongeza askari hao wa miamvuli mara baada ya kutua kwenye uwanja wa Uhuru.
Rais Jakaya Kikwete akiwapongeza askari hao wa miamvuli mara baada ya kutua kwenye uwanja wa Uhuru.  Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kutoa heshima mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.
Kikosi cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kutoa heshima mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete. Kikosi
 cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kuonyesha uwezo wake katika 
mapambano ya Karatee na  mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete.
Kikosi
 cha Makomandoo kikionyesha ukakamavu na kuonyesha uwezo wake katika 
mapambano ya Karatee na  mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Kikwete. Makomandoo hawa wakionyesha uwezo mkubwa wa mapambano na adui.
Makomandoo hawa wakionyesha uwezo mkubwa wa mapambano na adui. Sasa ni zana za kivita
Sasa ni zana za kivita Hiki ni Kifaru
Hiki ni Kifaru Kifaru cha kivita kikipita mbele ya wanahabari na wananchi waliohudhuria katika maadhimisho hayo.
Kifaru cha kivita kikipita mbele ya wanahabari na wananchi waliohudhuria katika maadhimisho hayo. Wananchi wakishuhudia vifaru vikipita wakati wa maadhimisho hayo.
Wananchi wakishuhudia vifaru vikipita wakati wa maadhimisho hayo. Makombora mazito ya kivita yakipita
Makombora mazito ya kivita yakipita  Makombora ya kutungulia ndege za adui nayo yakionyeshwa kwa wananchi.
Makombora ya kutungulia ndege za adui nayo yakionyeshwa kwa wananchi. Askari
 wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa 
Uhuru baada ya  kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000 
angani.
Askari
 wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa 
Uhuru baada ya  kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000 
angani. Askari
 wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa 
Uhuru baada ya  kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000 
angani.
Askari
 wa miamvuli ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wakishuka kwenye uwanja wa 
Uhuru baada ya  kuruka kwenye ndege umbali wa mita zaidi ya elfu 4000 
angani. Wakienda kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Jakaya Kikwete.
Wakienda kutoa heshima kwa Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Jakaya Kikwete.








SEFU na lipumba WALIHUDHURIA
ReplyDeletePost a Comment