Hili Ndio Dili nono alilolipata Rich Mavoko nchini Burundi - Angalia Picha Hapa

IMG-20140521-WA0007
Rich Mavoko baada ya kutua jijini Bujumbura
Rich Mavoko yupo nchini Burundi ambako amepata dili na kampuni iitwayo Ikoh ya nchini humo ambayo itahusika na yeye kuwanyanyua wasanii wa huko. Mavoko amealikwa kuwapa moyo wasanii wa Burundi na pia katika mkataba huo atatumbuiza kwenye tamasha kubwa litakalofanyila December mwaka huu.
IMG-20140521-WA0005
Kwa mujibu wa chanzo chetu inasemekana ni deal nono ambalo litampeleka Mavoko kwenye Bofya Hapa Kusoma Zaidi

Post a Comment

أحدث أقدم