Hivi Ndivyo Jaguar alivyoitosa ofa ya serikali ya Kenya ya kuwa member wa bodi ya vijana

jaguar pic
Jaguar amethibitisha kuwa hana shida na posho na hela ndogo ndogo za serikali ya Kenya kwa kuitosa ofa aliyopewa na gavana wa Nairobi yakuwa member wa bodi ya vijana.
Kupitia barua aliyomwandikia gavana huyo, Jaguar ametaja sababu nne za kukataa ofa hiyo ikiwa ni pamoja na kwamba ‘tangu serikali ichukue madaraka mwaka uliopita sijaona ilichokifanya kwa vijana’, hakutaarifiwa na serikali kabla ya jina lake kuandikwa kwenye gazeti na pia kutokuwa na muda wa kuhudhuria vikao vya bodi hiyo.
10354486_1409509382666157_1418498618_n

Post a Comment

أحدث أقدم