KAMA kawa, leo katika Exclusive Interview tunaye
mwigizaji Rose Ndauka ambaye anatarajia kufunga ndoa hivi
karibuni.Kwenye maisha yake ya sanaa, amepitia mambo mengi ambayo
yanasisimua, katika makala haya utayapata kwa ukamilifu wake:
Mwigizaji maarufu wa filamu za kibongo Rose Ndauka akiwa na mumewe Maliki
ALIVYOANZA KUIGIZA
Ilikuwa ni mwaka 2007, Dairekta na muigizaji wa filamu nchini, Single Mtambalike ‘Rich’ alimshawishi Rose Ndauka aingie kwenye tasnia ya sanaa.
Ilikuwa ni mwaka 2007, Dairekta na muigizaji wa filamu nchini, Single Mtambalike ‘Rich’ alimshawishi Rose Ndauka aingie kwenye tasnia ya sanaa.
Kama bahati, Rose alikuwa SOMA ZAIDI HAPA
إرسال تعليق