
Rui amepigwa marufuku ya mechi 6
Naibu wa kocha ya klabu ya
Chelsea, Rui Farai amepigwa marufuku ya kutokutenda jukumu lake uwajani
kama naibu wa kocha kwa jumla ya mechi sita na faini ya pauni £30,000 .
Mreno huyo alikirii makosa yake mawili ya kumkemea refa Mike Dean na kuzua vurumayi uwanjani na kupewa kadi nyekundu.
Rui amepigwa marufuku ya mechi 6
إرسال تعليق