DAVIDO apata Degree ya UDAKTARI.

Davido-1
Msanii Davido wa nchini Nigeria ambae ni star wa muziki kama Aye, Skelewu na mingine mingi, Leo amefanya mahafari ya kuhitimu katika chuo cha “BBCOCK UNIVERSITY” kilichopo ‘Ilisan Remo Ogun state’ nchini humo akiwa ni miongoni mwa wahitimu 500 katika chuo hicho. Davido katunukiwa degree ya udaktari katika chuo hicho.
Baba mzazi wa msanii huyo alikuwa nimiongoni mwa waliohudhulia sherehe hizo za maafari katika chuo hicho.

abudu
Ilisan Remo, Ogun State
Ilisan Remo, Ogun State

Post a Comment

Previous Post Next Post