Kampuni ya Bantu Sports and Fitness Enterprise watoa msaada wa vifaa vya michezo kwa shule ya msingi Miono, Chalinze Pwani

1
Viongozi wa Kampuni ya Bantu Sports And Fitness Enterprise, wakipanda mti wakati wa Uzinduzi wa Kampuni hiyo iliyoambatana na utoaji wa Msaada wa Vifaa vya Michezo na vya mafunzo ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya pamoja na kutunza mazingra katika Shule ya Sekondari Miono na Kikaro zilizopo Chalinze Mkoa wa Pwani.

Post a Comment

Previous Post Next Post