
Viongozi
wa Kampuni ya Bantu Sports And Fitness Enterprise, wakipanda mti wakati
wa Uzinduzi wa Kampuni hiyo iliyoambatana na utoaji wa Msaada wa Vifaa
vya Michezo na vya mafunzo ya kuepuka matumizi ya madawa ya kulevya
pamoja na kutunza mazingra katika Shule ya Sekondari Miono na Kikaro
zilizopo Chalinze Mkoa wa Pwani.
Post a Comment