
Sande amefariki dunia wakati bado taratibu za kuona ni namna gani
atakavyoweza kupatiwa ndege kwaajili ya kwenda kupatiwa matibabu nchini
india zilikuwa zikifanyika miongoni mwa wanandugu.
Sande Mrema alishindwa kusafiri kwenda nchini india katika matibabu yake baada ya kushushwa mara kadhaa kwenye ndege za kimataifa anazotakiwa kusafiria licha ya ndugu zake kulipa Gharama zote za usafiri wake.
R.I.P Sande
Sande Mrema alishindwa kusafiri kwenda nchini india katika matibabu yake baada ya kushushwa mara kadhaa kwenye ndege za kimataifa anazotakiwa kusafiria licha ya ndugu zake kulipa Gharama zote za usafiri wake.
R.I.P Sande
إرسال تعليق