Ajali mbaya ya kutisha imetokea muda huu maeneo ya Mang'ula kituo baada ya Ifakara mjini. Ajali imehusisha treni inayoelekea DSM na basi linalofanya safari za DSM-Mlimba Morogoro.Source:- JF
Watu wengi sana wahofiwa kupoteza maisha kutokana na jinsi basi lilivyo haribika. Dereva wa basi ametoka mzima na amefanikiwa kuescape.
Mungu walaze mahali pema wote waliopoteza maisha yao. AMEN.
Post a Comment