Video mpya ya Diamond ‘Ntampata Wapi’ imevuka views laki moja Youtube ndani ya saa 24

Video mpya ya Diamond platnumz ‘Ntampata wapi’ imekuwa na mapokeo mazuri kiasi cha kuwavutia watu wengi kutaka kuitazama kila wanaposikia kuwa imetoka.
mondi
Video hiyo iliyoanza kuchezwa na vituo vikubwa vya nje kikiwemo MTV Base juzi kabla haijasambazwa kwenye vituo vya hapa nyumbani jana, mpaka sasa imefanikiwa kupata views 117,907 kwenye mtandao wa Youtube, ikiwa ni ndani ya saa 24 toka ipandishwe kwenye mtandao huo.

Post a Comment

Previous Post Next Post