Dk Shein azindua soko la samaki na mbogamboga Tumbe

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba akiwa kisiwani huko atazindua Soko la Samaki na mboga mboga ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi wa Chama na Serikali mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Karume Pemba akiwa ziara ya kuzindua miradi mbali mbali ikiwemo  Soko la Samaki na mboga mboga Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mohammed Said Mohammed  alipowasili katika Uzinduzi wa  Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba leo ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Afisa Tawala Wilaya ya Micheweni Pemba Ahmed Khalid Abdalla   pamoja na Viongozi wengine  alipofika katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Michweni kuzindua  Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji hicho leo ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi katika Wizara ya Migugo na Uvuvi Mussa Aboud Jumbe  alipofika katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Michweni Pemba kuzindua  Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji hicho leo ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi katika Wizara ya Migugo na Uvuvi Mussa Aboud Jumbe(kulia)  alipofika katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Michweni Pemba kuzindua  Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji hicho leo ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(kutoka kushoto) Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dk.Kassim Gharib Juma na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mohammed Said Mohammed,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikata utepe kuzindua Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba leo lililojengwa na Serikali kupitia mkopo Benki ya Dunia  ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Dk.Kassim Gharib Juma baada ya kulizindua Soko la Samaki na mboga mboga wakati alipotembelea sehemu za Soko hilo leo  ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar(wa kwanza kushoto) Mkuu wa Mkoa Kaskazini Pemba Omar Khamis na Mkurugenzi Idara ya Uvuvi Mussa Aboud Jumbe,[Picha na Ikulu.]
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiangalia sehemu ya kufanyia minada katika Soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji cha Tumbe wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba leo baada ya kulizindua rasmi ,ikiwa ni shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
 Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha cha Tumbe wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba wakiwa katika hafla ya uzinduzi wa Soko la Samaki na mboga mboga leo uzinduzi huo uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, [Picha na Ikulu.]

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa  Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi katika Wizara ya Migugo na Uvuvi Mussa Aboud Jumbe  alipofika kuangalia jenereta katika soko la Samaki na mboga mboga katika Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Michweni Pemba baada ya kuzindua  Soko hilo leo  ikiwa ni katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi katika Wizara ya Migugo na Uvuvi Mussa Aboud Jumbe  akitoa maelezo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo baada ya kulizindua Soko la Samaki na mboga mboga Kijiji cha Tumbe Wilaya ya Micheweni Pemba wakati alipotembelea sehemu mbali mbali za soko hilo katika shamra shamra za miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,[Picha na Ikulu.]

Post a Comment

أحدث أقدم