Bosi
wa timu ya Chelsea Jose Mourinho
Kauli hiyo ya Mourinho aliitoa baada ya kutoridhishwa na penati ilisababisha timu yake itoke sare ya moja moja na Southampton ,mwezi uliopita mnamo tarehe 28.
Mourinho ameshtakiwa kwa utovu wa nidhamu na amepewa muda mpaka tarehe 13 ya mwezi huu kujibu tuhuma zinazomkabili.

إرسال تعليق