KUTOKA OFISI YA BUNGE:SOMA KWA MAKINI RATIBA YA MKUTANO WA KUMI NA NANE WA BUNGE, TAREHE 27/01/2015 - 07/02/2015

  JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA 
BUNGE LA TANZANIA
 KATIBU WA BUNGE 


TAREHE
SIKU/SAA
TUKIO
MAHALI
24/01/2015
na
25/01/2015
Jumamosi
na
Jumapili
Wabunge kuelekea Dodoma.
Kutoka Dar es Salaam na sehemu mbalimbali.
26/01/2015
Jumatatu
Saa 5.00 asubuhi
Saa 11.00 Jioni
Kikao cha Briefing kwa Wabunge wote.
Ukumbi wa Pius Msekwa.
Vikao vya Kamati za vyama vya siasa.
Kumbi za Kamati.
27/01/2015
Jumanne
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration Bill, 2014] (Kupigiwa kura tu).
·         Muswada wa  Sheria ya Takwimu wa Mwaka 2013 [The Statistics Bill, 2013] (Kamati ya Bunge zima na Kusomwa mara ya Tatu)
28/01/2015
Jumatano
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge zinazosimamia Fedha za Umma.
(i)   Kamati ya Hesabu za Serikali;
(ii)  Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa;
(iii)Kamati ya Bajeti. 
29/01/2015
Alhamisi
·         Kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu.
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge zinazosimamia Fedha za Umma.
(i)   Kamati ya Hesabu za Serikali;
(ii)  Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa;
(iii)Kamati ya Bajeti.
30/01/2015
Ijumaa
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge za Kisekta/ zisizo za Kisekta.
(i)   Kamati ya Miundombinu;
(ii)  Kamati ya Nishati na Madini.
31/01/2015
Jumamosi
(i)     Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira;
(ii)    Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji.
01/01/2015
         Jumapili
MAPUMZIKO
02/02/2015
Jumatatu
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge za Kisekta/ zisizo za Kisekta.
(i)   Kamati ya Katiba, Sheria na Utawala;
(ii) Kamati ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa;
(iii)                Kamati ya Masuala ya UKIMWI.
03/02/2015
Jumanne
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge za Kisekta/ zisizo za Kisekta.
(i)   Kamati ya Ulinzi na Usalama;
(ii) Kamati ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa;
(iii)                Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara.
04/02/2015
Jumatano
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Taarifa za Kamati za Bunge za Kisekta/ zisizo za Kisekta.
(i)  Kamati ya Huduma za Jamii;
(ii)  Kamati ya Maendeleo ya Jamii.
05/02/2015
Alhamisi
·         Kipindi cha Maswali ya Waziri Mkuu.
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Muswada wa  Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2)  wa mwaka 2014 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.2)  Bill, 2014].
06/02/2015
Ijumaa
·         Kipindi cha Maswali ya Kawaida.
·         Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.2)  wa mwaka 2014 [The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No. 2)  Bill, 2014].
·      Taarifa ya Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya Ardhi, Kilimo, Mifugo, Maji na uwekezaji ili kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya Ardhi. (Kuwasilishwa Bungeni na Mwenyekiti)
07/02/2015
Jumamosi

·      Taarifa ya Kamati Teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya Ardhi, Kilimo, Mifugo, Maji na uwekezaji ili kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya Ardhi.

·      HOJA YA KUAHIRISHA BUNGE

Post a Comment

Previous Post Next Post