BONGE APATA MSALA, Afumwa Akibanjuka na Dereva wa Taksi Baada ya Kuwachenga Wenzake njiani Alipokuwa Anatoka __

Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.
Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake na baada ya kumpata dereva huyo ambaye aliahidi kumpa kiasi f’lani cha fedha ili ‘wakalicheze segere’ usiku mnene.
Mwanamke aliye bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.
Chanzo hicho kiliiambia Timu ya Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kuwa baada ya makubaliano, walizama kwenye teksi na kwenda kujificha kwenye kichaka kilichopo mita chache kutoka Kituo cha Polisi cha Kijitonyama ‘Mabatini’.
Wakiwa katikati ya mchezo, jirani mmoja alisikia miguno ya kimahaba hivyo alipenyua pazia la dirisha lake na kuwashuhudia laivu kitendo ambacho kilimkera ambapo alitoka nje na kwenda kuwaita sungusungu ambao waliungana na OFM na kuwatimua wawili hao huku bonge akitimka mbio na kuacha nguo yake ya ndani na kadi ya mwaliko wa kitchen party.

Post a Comment

أحدث أقدم