Katika
 hali hisiyo ya kawaida, mtoto mmoja ambaye jina lake halijafahaamika 
ameanguka mchana wa leo kutoka juu ya jengo la ghorofa, ghorofa ya tano,
 huko maeneo ya kota za jeshi, Mwenge Maghorofani..
Kwa
 mujibu wa mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wameelea kuwa, mtoto huyo 
hadi sasa ameumia vibaya sehemu za kichwani na kutoka damu nyingi, 
ambapo awali alikimbizwa hospitali ya Lugalo na baadaye amepelekwa 
Muhimbili.
 kwa taarifa zaidi zitaendelea kuwajia

إرسال تعليق