
![]() |
Eneo la kuegesha gari la zima moto katka kiwanda hicho ikiwa imejaa maji. |
![]() |
Hivi ndivyo ilivyokuwa ikionekana katika eneo la kiwanda baada ya mvua zilizonyesha usiku wa jana na kusababisha mafuriko katika kiwanda hicho. |
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi katika kiwanda hicho wakitizama mafuriko yalivyo athili maeneo mbalimbali katika kiwanda hicho. |




![]() |
mafuriko katika eneo la kiwanda |
![]() |
Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda hicho wakiwa wameketi wasijue nini cha kufanya baada ya maji kuingia katika ofisi zao. |


![]() |
Kituo cha mafuta cha Puma kilichopo ndani ya kiwanda cha TPC kikiwa kimeenea maji. |
![]() |
Eneo la ofisi katika kiwanda hicho. |
![]() |
Hivi ndivyo ilivyoonekana wakati wa asubuhi leo . |
![]() |
Maji yalieneo katika maeneo mengi ya jirani na TPC. |

![]() |
Baadhi ya wafanyakazi katika kiwanda cha
sukari cha TPC wakijaribu kuhamisha vitu mbalimbali baada ya nyumba
zao kujaa maji,taarifa za awali zinadai zaidi ya watiu 100
wameathirika na mafuriko hayo huku wengine wakipoteza vyakula.hata
hivyo tayari serikali mefika eneo la tukio kwa ajili ya kuangalia
namna bora ya kusaidia wananchi walioathirika kutokana na mafuriko
hayo. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |
إرسال تعليق