INSTAGRAM RETIAL & FASHION SHOW KULITEKA JIJI LA DAR 10, OCT 2015

Jumamosi ya tarehe 10, October 2015 ile show iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ‘Instagram Retail & Fashion Show’ iliyoandaliwa Anastazia Oswald ambaye ni designer wa mitindo mbalimbali za mavazi kutoka hapa home Tz, itafanyika ndani ya Millenium Tower ( Mzalendo Pub). Event itaanza saa tano asubuhi kwa mtonyo wa buku 3000/= tu! na Fashion Show itaanza saa kumi na mbili, kwa shilingi buku 15,000/= kuta kuwa na mastaa kibao ikiwa ni pamoja na Millard Ayo.
Offer mbalimbali zitolewa, mshindi wa Bronze ataibuka na 1 Free Copy ya Baabkubwa Magazine , mshindi wa Slver atapewa Copy 1 ya Baabkubwa Magazine, Lingerie 1 na Boxer 1, & mshinda wa Gold atapata vyote pamoja na Lunch with a Cellebs. Unakosaje!!!!!!

Post a Comment

أحدث أقدم