Kiongozi
wa chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe amemtaka rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kutangaza hali ya hatari
visiwani Zanzibar, endapo suala la kurudia uchaguzi ama kutangazwa kwa
mshindi wa kiti cha urais likishindikana.
Zitto amtaka Rais Magufuli kutangaza hali ya hatari Zanzibar (video)
Hisia
0
Post a Comment