Aunty Ezekiel : Mdogo wa Cookie anakuja soon!!


STAA maarufu wa fi lamu Bongo, Aunty Ezekiel amefungua kinywa chake na kusema STAA maarufu wa fi lamu Bongo, Aunty Ezekiel  kuwa kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kumtafuta mdogo wake na Cookie kwa kuwa hataki kukaa muda mrefu ili kwa kuwa hataki kukaa muda kupata mtoto mwingine.
 
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni  Aunty,alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa anaona kuzaa mapema na kumaliza ndiyo poa ili aweze kuendelea na kazi zake vizuri kuliko kukaa muda mrefu halafu ndiyo ubebe ujauzito
tena. “Sasa hivi mimi na baba Cookie tumeshaamua kufanya maamuzi mazuri kabisa ya kuongeza mtoto mwingine maana tumeona kwanza ndiyo furaha yetu

Post a Comment

Previous Post Next Post