Edward Lowassa kaweka hizi picha 3 akichunga Ngo’mbe alafu akaandika haya maneno 46
Edward Lowassa ambaye alikua mgombea urais kwenye uchaguzi mkuu wa
Tanzania mwaka 2015 kupitia tikect ya CHADEMA, ameziweka hizi picha zake
tatu akichunga Ng’ombe kisha akaandika haya maneno hapa chini.
Source:MillardAyo.com
>>
‘Ndugu zangu,naendelea kumshukuru Mungu kwa kila jambo. Nikiwa shambani
kwangu Mzeri, Handeni nikichunga mifugo yangu naona miujiza ya Mungu
ikitendeka. Mazingira ya asili ni zawadi kuu aliyotukirimu Mwenyenzi
Mungu. Kila mmoja wetu kwa nafasi yake amshukuru Mungu kwa kuyathamini,
kuyalinda na kuyatunza mazingira popote alipo‘
Post a Comment