Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata
utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga
(kushoto) na Mwakilishi wa Balozi wa China nchini Tanzania, wakikata
utepe kuashiria kukabidhiwa kwa kwa mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka
Serikali ya China.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka akipanda kwenye moja
ya vichwa 4 vya treni ya Tazara vilivyotolewa na Serikali ya China.
Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga akizungumzia umuhimu wa reli ya TAZARA kwa Tanzania na Zambia.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka akizungumzia mustakbali wa TAZAMA katika kujenga uchumi wa Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) Ronald Phiri, akitia saini mkataba wa makabidhiano.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Mamlaka ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) Ronald Phiri
akibadilishan hati za makabidhiano ya mabehewa 18 na vichwa 4 vya treni
na Makamu wa Rais wa CCECC kutoka Serikali ya Watu wa China Lin
Zhiyong.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia
nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda kwenye treni ya
kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia
nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda kwenye treni ya
kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.Moja ya mabehewa mapya.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia
nchini Tanzania Judith Kapijimpanga (kulia) wakibadilishana mawazo
wakiwa ndani ya sehemu ya kulia chakula iliyomo kwenye moja ya behewa
jipya.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji TAZARA, Ronald Phiri na Mwakilishi
wa Balozi wa China.
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia
nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakiteremka kutoka kwenye moja ya
behewa jipya baada ya kusafiri nalo kwa dakika kumi kufanyia majaribio.
Baadhi
ya maafisa kutoka Serikali ya Watu wa China na wafanyakazi wa Mamlaka
ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA), wakishuhudia utiaji saini wa
makabidhiano ya mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa
China.
Baadhi ya wageni katika tukio hilo. (Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO)
Post a Comment