Baaada ya Home Shopping Center, UDA Nayo Yatangaza Kufilisika..Wadau Wadai ni Ujanja

Baada ya Home Shopping Center, sasa Robert Kisena naye atangaza UDA kufilisika. Wadau wadai ni janja ya kukwepa mkono wa sheria.
Yeye adai ni kutokana na madeni makubwa anayodaiwa ambayo yanazidi fedha zilizomo kwenye akaunti ya UDA. 

Post a Comment

Previous Post Next Post