Mtangazaji wa kipindi cha burudani cha Funika Base kutoka Radio 5 ya
Mjini Arusha , Julius Kamafa (kushoto) akifanya mahojiano na Washiriki
wa Shindano la Redd’s Miss Tanzania 2013 katika studio za redio hiyo
jana.
Baadhi ya warembo wakijieleza Live Redio 5 hii leo walipotebelea kituo hicho.
Meneja Biashara wa TAN MEDIA, Angela Maina akizungumza na warembo wa
Redd’s Miss Tanzania 2013 wakati warembo hao walipotembelea Kituo cha
Redio cha Radio 5 cha mjini Arusha leo kujionea shughuli mbalimbali na
kufanya mahojiano maalum. Warembo wa Redd’s Miss Tanzania wapo mkoani
Arusha kwa ziara ya kimafunzo.
Baadhi ya wafanyakazi wa TAN MEDIA wakisikiliza kwa makini mkutano huo baina ya warembo na Viongozi wa TAN MEDIA.
إرسال تعليق