Rihanna anatarajiwa kuwa mwimbaji wa kike atakayepewa
heshima kubwa kwenye kiwanda cha mitindo ya mavazi Marekani kwa kupewa
tuzo maalum kutokana na jinsi anavyochagua mavazi yake kila
anapoonekana.
Council of Fashion Designers of America, Inc imetangaza kumpa Rihanna
tuzo hiyo kwa madai kuwa ameleta impact kubwa kwenye kiwanda cha
mitindo ya mavazi na kuwa kama balozi wa utamaduni wa Pop.
“Tunajivunia kumpa Rihanna CFDA Fashion Icon Awards kwa impact yake
katika kiwanda cha mitindo ya mavazi na kuwa kama balozi katika
kumbukumbu za hivi karibuni.” Amesema CEO wa CFDA, Steven Kolb.
Tuzo hiyo itatolewa rasmi june 2 mwaka huu huko New York.
Wengine waliowahi kupata tuzo hiyo ni pamoja na Lady Gada na Kate Moss
إرسال تعليق