Maandamano hayo yakielekea katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani |
Habari
zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa kundi kubwa la waumini wa dini
ya kiislamu wameandamana hadi katika ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani,
maeneo ya posta.
Haijafahamika
mara moja maandamano hayo yanalenga nini lakini habari ambazo
hazijathibitishwa zinaeleza kuwa maandamano hayo yanashinikiza kuachiwa
huru kwa mwenzao anayeshikiliwa na jeshi la polisi.
Post a Comment