NINGEPENDA MTOTO WANGU AOLEWE NA MWANAUME ALIESOMA - MAMA RECHO

Ama hakika hakuna mama anaemtakia maisha mabaya mtoto wake awe wa kike ama wa kiume, siku zote wako mbele kuhukakisha tunakuwa na maisha yanayoridhisha..kupitia Top 20 ya Clouds Fm na Fetty mama mzazi wa msanii Recho alifunguka kuhusu aina ya mwanaume angependa mwanae amuoe, ambapo licha ya watoto wengi wa kike kukimbilia wanaume wenye pesa, mama mzazi wa Recho angependa mtoto wake aolewe na mwanaume mwenye Elimu... zaidi msikilize hapo chini 


Post a Comment

أحدث أقدم