DAYNA NYANGE MKALI WAO
Mwanamuziki wa mziki wa kizazi kipya anayefanya vizuri
ktk mziki huwo Dayna Nyange mkali wao amefunguka na
kulaani kitendo cha mauaji ya mwanafunzi wa chuo cha St
JOHN cha Dodoma.
Akizungumza na www.ubalozinirespect.blogspot.com Dayna amesema,
kwa kweli nikitendo cha kikatili na cha kinyama ambacho serikali
hawastahili kukipuuza.
"Nimesikitishwa sana na taarifa za mauaji ya kinyama
yaliyotokea mjini Dodoma, kwakweli inahudhunisha sana na
haistahili kufumbia macho kwani hatujui lijalo na hii itawaweka
wapi wanafunzi wengine? je watakuwa katika hali gani ya
kimasomo. Naiomba serikali sheria ifwate mkondo wake kwa
wahusika ili kutoa fundisho kwa watu wengine".
Ivi karibuni kulitokea na tukio la mauaji ya kinyama ya
mwanafunzi Lidya Leo Mzima wa chuo cha St Johnn mjii Dodoma
pembezoni mwa choo hicho.tukio ambalo limeleta hofu na simanzi
kubwa kwa wanafunzi wa maeneo hayo
إرسال تعليق