Shaa Atoa Shukrani kwa Wadau wote waliohusika kumfariji katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na Mama yake Mzazi - Haya ndio haliyoyaandika

 
Ahsanteni sana wote mliojitokeza kutufariji during this very difficult time, ahsanteni wote mliotuweka kwenye dua na maombi yenu, shukrani za dhati ziende kwa wote mliofanikisha mazishi ya mama yetu mpendwa Christabella Octavia Kaisi...tunamshukuru sana Mh. Jakaya M. Kikwete na Mama Salma Kikwete, General Mwamunyange, wafanyakazi wa ofisi ya RITA, ndugu na jamaa wote wa ukoo wa Kaisi Mwamatandala na wa ukoo wa John M. Chilumba, majirani na marafiki bila kuwasahau mashabiki wangu(TeamShaa)..kwa kweli mwenyezi Mungu awabariki sana.

Post a Comment

أحدث أقدم