Siku chache baada ya kusambaa tetesi kuwa Kanye West na Kim
Kardashian tayari wamefunga ndoa yao ya kwanza (kiserikali), mrembo huyo
ameamua kusema na kuzikanusha tetesi hizo.
Bibi harusi mtarajiwa ambaye ataonekana kwenye TV akiwa na mumewe
Kanye West watakapofunga ndoa rasmi May 24, ameekanusha tetesi hizo
kupitia akaunti yake ya Twitter.
Tetetesi ya pili aliyoikanusha ni pamoja na ile inayoaminika sana
kuwa ndoa yao itaoneshwa kwenye show maarufu ya familia yake, “Keeping
Up With The Kardashian”.
2. We are not filming our wedding for Keeping Up With The Kardashians. You will see everything leading up til and after!
Kim K alikanusha pia kuwepo orodha ya wageni 1600 iliyosemekana kuwa
na majina mengi ya watu maarufu akiwemo Lupita Nyong’o, Winnie Mandela
na wengine.
3. No guest list has been released.
Seeing fake ones. Especially not 1600 people invited like I just read.
Its VERY small & intimate
Na mwisho akawatahadharisha watu kuhusu picha za nguo zake za harusi zinazosambaa kuwa sio za kweli.
“Seeing fake wedding dress pics of me. No one has seen my dress! Those photos are old or photo shopped.”
إرسال تعليق