Kim Kardashian akanusha tetesi kuwa wameshafunga ndoa na habari nne zilizoaminika kuhusu ndoa yao

 
Siku chache baada ya kusambaa tetesi kuwa Kanye West na Kim Kardashian tayari wamefunga ndoa yao ya kwanza (kiserikali), mrembo huyo ameamua kusema na kuzikanusha tetesi hizo.
Bibi harusi mtarajiwa ambaye ataonekana kwenye TV akiwa na mumewe Kanye West watakapofunga ndoa rasmi May 24, ameekanusha tetesi hizo kupitia akaunti yake ya Twitter.
1. We are not married yet!

Tetetesi ya pili aliyoikanusha ni pamoja na ile inayoaminika sana kuwa ndoa yao itaoneshwa kwenye show maarufu ya familia yake, “Keeping Up With The Kardashian”.

2. We are not filming our wedding for Keeping Up With The Kardashians. You will see everything leading up til and after!
Kim K alikanusha pia kuwepo orodha ya wageni 1600 iliyosemekana kuwa na majina mengi ya watu maarufu akiwemo Lupita Nyong’o, Winnie Mandela na wengine.

3. No guest list has been released. Seeing fake ones. Especially not 1600 people invited like I just read. Its VERY small & intimate

Post a Comment

أحدث أقدم