Baada taarifa kusambaa kwe ye mitandao ya kijamii ikisemekana Diamond Platnumz kuwa ndio anayehakiki kazi za wanamuziki wa Bongo ili ziweze kuchezwa MTV Base, sasa mwanamuziki Alikiba amefunguka hivi.
“Nitawaambia ukweli ambao unaohusu that it, kama ni kweli
watakuwa wanakosea na sidhani kama ni sawa coz watakuwa hawapo
fair.”Alikiba
“Hajabeba talent ya kila mtu, kila mtu ana talent yake, ana
haki ya kuonyesha kazi yake coz kila mtu anafanya business ya muziki
sasa hivi sio mtu anafanya masihara, na unapomuona mtu anafanya video
yake anagharamikia so haipendezi n
Post a Comment